Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"
Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam
Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2
Para ver en familia
Me Encanta este capítulo.
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi
SSPX: Mkuu wa wilaya ya Ufaransa Awashutumu Watangulizi wake
Padre Christian Bouchacourt, ambaye ndiye Mkuu wa Wilaya wa Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa Kumi nchini Ufaransa(SSPX), alishutumu barua iliyoandikwa na wakuu kumi Wafaransa wa Jumuiya hiyo, ambao walitilia shaka kutambuliwa kwa ndoa za Jumuiya hiyo na Majimbo
Bouchacourt anawakosoa kumi hao kwa kuitayarisha barua hiyo bila ya kuiwasilisha mbele ya wakuu wao. Anapendekeza kuwa wanazingatia ono kuwa la pekee lililo la ukweli na anaamini kuwa Mungu hatabariki juhudi kama hizo ambazo- kilingana na asemavyo- husababisha ugomvi na mgwanyiko wa kwa ndani
Bouchacourt anawaomba Mapadre wa Ufaransa kuipuuza barua hiyo na kutangaza kuwa wanateolojia wa Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa Kumi (SSPX) wanatayarisha jibu.
Barua kwa Kifaransa: FSSPX-Lettre aux Confrères: "Je condamne"
Picha: Christian Bouchacourt, © sspx.org, #newsGxuklkcacm
Mzozo Kati Ya Kadinali Parolin Na Makamu Wake Becciu Unaendelea.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsZfhumqtqae
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Para ver en familia
Homilia o. Z. J. Kijasa OFMConv....
zkijas.comIV Niedziela Wielkanocna 21.04.2024 Ewangelia (J 10, 11-18)
Ewangelia (J 10, 11-18)
Jezus jest dobrym pasterzem
Jezus powiedział:
«Ja jestem dobrym pasterzem. Dobry pasterz daje życie swoje za owce. Najemnik zaś i ten, kto nie jest pasterzem, którego owce nie są własnością, widząc nadchodzącego wilka, opuszcza owce i ucieka, a wilk je porywa i rozprasza; najemnik ucieka, dlatego że jest najemnikiem i nie zależy mu na owcach.
Ja jestem dobrym pasterzem i znam owce moje, a moje Mnie znają, podobnie jak Mnie zna Ojciec, a Ja znam Ojca. Życie moje oddaję za owce. Mam także inne owce, które nie są z tej zagrody. I te muszę przyprowadzić, i będą słuchać głosu mego, i nastanie jedna owczarnia, jeden pasterz.
Dlatego miłuje Mnie Ojciec, bo Ja życie moje oddaję, aby je znów odzyskać. Nikt Mi go nie zabiera, lecz Ja sam z siebie je oddaję. Mam moc je oddać i mam moc je znów odzyskać. Taki nakaz otrzymałem od mojego Ojca».
Obraz Boga jako pasterza swojego ludu był już szeroko obecny w Piśmie Świętym Starego Testamentu i pojawia się też w Nowym.
Dobroć …
Papa Hataki Kuuharakisha Utambuzi Wa jumuiya Ya SSPX
Safarini mwake kutoka Fatima, Papa Francis aliongea jana, kama kawaida, na wanahabari ndegeni. Akisemea suala la Jumuiya ya Upadri ya Mtakatifu Pius wa Kumi alisisitiza kuwa ana uhusiano mwema na Mkuu wa Jumuiya hiyo, Askofu Bernard Fellay, akiongeza: "Sitaki kuyaharakisha mambo. Inafaa uendelee kabisa- kisha tutaona."
Kulingana na Francis, Ushirika wa Mafundisho ya Imani bado unahitaji kutatua matatizo ya ustadi, kwa mfano katika kesi za dhuluma za kijinsia au kuachishwa kazi kwa Mapadre.
Picha: FSSPX, © Jim, the Photographer, CC BY, #newsYkmqjeaqdp
Kamari Ya Francis Ya Kujenga Kanisa Jipya.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVhcsztlxzg
Wafransisko:"Tulitaka Kuibadilisha Dunia - Lakini Dunia Ikatubadilisha"
Bradha Peter Amendt (70), Mjerumani Mfransisko, akizungumza na Zeitschrift Franziskaner alikumbuka "mabadiliko makuu" katika shirika lao ambayo hayajuti. Hivyo ndivyo alivyo yaeleza, "Tulitaka kuibadilisha dunia lakini dunia ikatubadilisha."
Amendt alisoma teolojia Mjini Munich miaka hamsin iliyopita, lakini hakutaka kuwa kasisi. Yeyey hufanya kazi na watu wasio na makazi mjini Düsseldorf.
Picha: Franciscus de Assisio, © Franco Vannini, CC BY, #newsJuoueyuxog