oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

217
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

126

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

35
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
26
sw.news

Je Ni kitabu Cha Humanae Vitae Kitakachoadhirika sasa?

Fununu zinaenea kuwa katika Urumi kuna Tume ya kisiri ya Vatikani ambayo inapitia upya barua ya Papa Paulo wa Sita(Paul VI) kwa Maaskofu; Humanae Vitae (1968), aandika Marco Tosatti. Barua hii huthibitisha mafunzo ya Kikatoliki kuhusu kukataliwa kwa upangaji uzazi. Kulingana na Tosatti lengo la tume hiyo, linalotakikana na Papa Francis, huenda likawa kukubalisha upangaji uzazi.
Picha: Vatican, © Mike on flickr.com, CC BY-NC-ND, #newsLlykseoozf

205
sw.cartoon

Kanisa Lililokufa La Ujerumani Huwekwa Hai Na Ushuru Wa Kanisa Kutoka Kwa Serikali - Kadinali Müller Akizungumza Na Kadinali Marx.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsXfvzcwkoqw

115
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
9
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
112
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

155
Denis Efimov

Así es.

sw.news

Mwanachama Wa Opus Dei Akweza Itikadi Za Kishoga

Meya wa Las Condes, nchini Chile, Joaquín Lavín anaunga mkono kukubalika kwa ushoga. Alipokuwa kwenye kituo kimoja cha Televisheni cha Chile Chilevisiónalisema kuwa "Masuala hayo yanastahili kujadiliwa." Lavín alihadithia tukio la binti ya mraibu wa madawa ya kulevya katika manisoaa yake, ambaye anasemekana kulelewa na shoga wawili. Kulingana na Lavín ni heri msichana huyo anavyoishi na shoga hao badala ya kuwa na familia yake. Hata alidai kuwa sasa msichana huyo "ni mwenye furaha".
Lavín ambaye ni baba ya watoto saba, ni mwanachama maarufu wa Opus Dei. Alijaribu mara mbili kugombea kiti cha urais cha Chile.
Mnamo tarehe 18 mwezi wa Mei aliweka bendara katika ofisi yake ya manispaa ili kuadimisha sikukuu ya "utofauti wa kijinsia". Lavín alieleza kwenye mtandao wa Twitter, kuwa bendera hii ilikuwa " ishara ya heshima na kutobagua".
Picha: Joaquín Lavín, © Sebastián Piñera E., CC BY-SA, #newsBuictnunms

85
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

144
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
16
sw.news

Askofu Paglia Ashikamana Kwenye Utando Wa Uongo

Akizungumza na Avvenire, Askofu Mkuu Vincenzo Paglia, rais wa Chuo cha Papa Cha Maisha, alimtetea tena mwanateolojia mtetezi wa uavyaji mimba wa Kianglikani Nigel Biggar, ambaye Papa Frncis alimteua kwenye chuo hicho. Paglia alidai kuwa Biggar sio "mtetezi wa Uavyaji".
Alilaumu "utafsiri mbaya wa vyombo vya habari" na wale ambao hawaelewi lugha inayodaiwa kuwa ngumu ya mazungumzo kati ya Biggar na mwanafalsafa Peter Singer mnamo mwaka wa 2011.
Ni katika mazungumzo haya ambapo Biggar alisema bila utata kuwa, "Nitapendelea kuzuia uavyaji mimba majuma 18 baada ya kutunga mimba, ambao ndio takriban wakati ambapo kwa mara ya kwanza kijusu huwa na shughuli za kiakili, na hivyo basi ufahamu".
#newsZdqzianrau

76
sw.cartoon

Sauti Tulivu Hazikaribishwa Katika Vatikani Ya Papa Francis.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIunzxneznl

114
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
24
noi_cattolici

Dr. Barbara Balanzoni

20:00
69