sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

211
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

119
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

31
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
21
sw.news

SSPX: Mkuu wa wilaya ya Ufaransa Awashutumu Watangulizi wake

Padre Christian Bouchacourt, ambaye ndiye Mkuu wa Wilaya wa Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa Kumi nchini Ufaransa(SSPX), alishutumu barua iliyoandikwa na wakuu kumi Wafaransa wa Jumuiya hiyo, ambao walitilia shaka kutambuliwa kwa ndoa za Jumuiya hiyo na Majimbo
Bouchacourt anawakosoa kumi hao kwa kuitayarisha barua hiyo bila ya kuiwasilisha mbele ya wakuu wao. Anapendekeza kuwa wanazingatia ono kuwa la pekee lililo la ukweli na anaamini kuwa Mungu hatabariki juhudi kama hizo ambazo- kilingana na asemavyo- husababisha ugomvi na mgwanyiko wa kwa ndani
Bouchacourt anawaomba Mapadre wa Ufaransa kuipuuza barua hiyo na kutangaza kuwa wanateolojia wa Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa Kumi (SSPX) wanatayarisha jibu.
Barua kwa Kifaransa: FSSPX-Lettre aux Confrères: "Je condamne"
Picha: Christian Bouchacourt, © sspx.org, #newsGxuklkcacm

90
sw.cartoon

Mzozo Kati Ya Kadinali Parolin Na Makamu Wake Becciu Unaendelea.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsZfhumqtqae

122
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1

47:16
elfu 14
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
8
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
96
sw.news

Papa Hataki Kuuharakisha Utambuzi Wa jumuiya Ya SSPX

Safarini mwake kutoka Fatima, Papa Francis aliongea jana, kama kawaida, na wanahabari ndegeni. Akisemea suala la Jumuiya ya Upadri ya Mtakatifu Pius wa Kumi alisisitiza kuwa ana uhusiano mwema na Mkuu wa Jumuiya hiyo, Askofu Bernard Fellay, akiongeza: "Sitaki kuyaharakisha mambo. Inafaa uendelee kabisa- kisha tutaona."
Kulingana na Francis, Ushirika wa Mafundisho ya Imani bado unahitaji kutatua matatizo ya ustadi, kwa mfano katika kesi za dhuluma za kijinsia au kuachishwa kazi kwa Mapadre.
Picha: FSSPX, © Jim, the Photographer, CC BY, #newsYkmqjeaqdp

62
sw.cartoon

Kamari Ya Francis Ya Kujenga Kanisa Jipya.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVhcsztlxzg

135
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

150
Denis Efimov

Así es.

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
14
sw.news

Wafransisko:"Tulitaka Kuibadilisha Dunia - Lakini Dunia Ikatubadilisha"

Bradha Peter Amendt (70), Mjerumani Mfransisko, akizungumza na Zeitschrift Franziskaner alikumbuka "mabadiliko makuu" katika shirika lao ambayo hayajuti. Hivyo ndivyo alivyo yaeleza, "Tulitaka kuibadilisha dunia lakini dunia ikatubadilisha."
Amendt alisoma teolojia Mjini Munich miaka hamsin iliyopita, lakini hakutaka kuwa kasisi. Yeyey hufanya kazi na watu wasio na makazi mjini Düsseldorf.
Picha: Franciscus de Assisio, © Franco Vannini, CC BY, #newsJuoueyuxog

76
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
24
noi_cattolici

Dr. Barbara Balanzoni

20:00
68